Breaking News

BASHE: NI KWELI NILISEMA CCM WAWAPIGE CHADEMA, SABABU NI HII

Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amekiri kusema kwa wafuasi wa CCM wawashambulia CHADEMA kweny mkutano wa kameni za Udiwani Mbweni mwezi Septemba mwaka jana.

Bashe amesema sababu ya kusema hivyo ni kuwa walikuwa wakielekea kwenye kampeni na kushambuliwa na wafuasi wa CHADEMA lakini polisi hawakuchukua hatua yoyote, na hivyo kuwaasa wana CCM wajilinde wenyewe watakaposhambuliwa na CHADEMA

Bashe amesema pia Freeman Mbowe aliwahi kutamka Siha akiwaambia wafauasi wa CHADEMA kuwajibu wafuasi wa CCM wanaowashambulia kwa kuwa polisi hawafanyi chcochote wanaposhambuliwa, ila hakuna mtu aliyezungumzi kauli yake hiyo

No comments