Breaking News

Ticket Hii ya Daladala yaimeibua Mjadala Mkubwa

'Ticket' hii imeibua Mjadala: Ni sahihi kwa vyombo vya usafiri kuweka ‘Kauli mbiu’ kwenye risiti za malipo kwa abiria kama lilivyofanywa pichani?

Je, hapa nchini kuna taratibu za kuongoza wanaotaka kufanya hivyo?

Na kama hakuna, Kuna haja ya mamlaka kuweka taratibu?

Je, Hali hii ikiachwa iendelee hivi haiwezi kupelekea wengine kuweka nukuu hatari zaidi?

No comments