Breaking News

Mbwana Samatta Atajwa Kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2017


Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF imetaja orodha ya wachezaji 30, watakao wania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2017 huku jina la mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk likiwemo katika  listi hiyo.

Baadhi ya wachezaji waliyopo katika orodha ni pamoja na mshindi wa mwaka 2015, Pierre-Emerick Aubameyang, mshindi wa tatu mwaka 2016, Sadio Mane huku jina la mshindi wa mwaka jana, Riyad Mahrez raia wa Algeria likikosekana.

Mbwana Samata (Tanzania & Genk), Vincent Aboubakar (Cameroon & Porto), Karim El Ahmadi (Morocco & Feyenoord), Christian Atsu (Ghana & Newcastle), Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon & Borussia Dortmund), Eric Bailly (Cote d’Ivoire & Manchester United), Cedric Bakambu (DR Congo & Villareal), Keita Balde (Senegal & Monaco), Christian Bassogog (Cameroon & Henan Jianye), Yves Bissouma (Mali & Lille), Khalid Boutaib (Morocco & Yeni Malatyaspor), Yacine Brahimi (Algeria & Porto), Essam El Hadary (Egypt & Al Taawoun), Junior Kabananga (DR Congo & Astana), Fackson Kapumbu (Zambia & Zesco), Naby Keita (Guinea & RB Leipzig), Ali Maaloul (Tunisia & Al Ahly), Sadio Mane (Senegal & Liverpool), Moussa Marega (Mali & Porto), Victor Moses (Nigeria & Chelsea), Youssef Msakni (Tunisia & Al Duhail), Michael Olunga (Kenya & Girona), Fabrice Ondoa (Cameroon & Sevilla), Denis Onyango (Uganda & Mamelodi Sundowns), Thomas Partey (Ghana & Atletico Madrid), Mohamed Salah (Egypt & Liverpool), Jean Michel Seri (Cote d’Ivoire & Nice), Percy Tau (South Africa & Mamelodi Sundowns), Bertrand Traore (Burkina Faso & Lyon), William Troost-Ekong (Nigeria & Bursaspor)

Mchezaji Bora wa Mwaka anaechezea ndani ya Afrika

Nasr Eldin Ahmed (Sudan & Hilal Obeid), Junior Ajayi (Nigeria & Al Ahly), Karim Aouadhi (Tunisia & CS Sfaxien), Aristide Bance (Burkina Faso & Al Masry), Alkhaly Bangoura (Guinea & Etoile du Sahel), Achraf Bencharki (Morocco & Wydad Athletic Club), Jeremy Brockie (New Zealand & Supersport), Fawzi Chaouchi (Algeria & MC Alger), Oussama Darfalou (Algeria & USM Alger), Muaid Ellafi (Libya & Ahly Tripoli), Tady Etekiama (DR Congo & AS Vita), Ahmed Fathi (Egypt & Al Ahly), Dean Furman (South Africa & Supersport United), Sylvain Gbohouo (Cote d’Ivoire & TP Mazembe), Tarek Hamed (Egypt & Zamalek), Fackson Kapumbu (Zambia & Zesco), Saber Khalifa (Tunisia & Club Africain), Taha Yassine Khenissi (Tunisia & Esperance), Ali Maaloul (Tunisia & Al Ahly), Ayman Majid (Morocco & FUS Rabat), Ben Malango (DR Congo & TP Mazembe), Aymen Mathlouthi (Tunisia & Etoile du Sahel), Mohamed Meftah (Algeria & USM Alger), Sabelo Ndzinisa (Swaziland & Mbabane Swallows), Denis Onyango (Uganda & Mamelodi Sundowns), Mohamed Ounnajem (Morocco & Wydad Athletic Club), Elsamani Saadeldin (Sudan & Al Merreikh), Saladin Said (Ethiopia & Saint George), Geoffrey Serunkuma (Uganda & KCCA), Percy Tau (South Africa & Mamelodi Sundowns).

Kura za kupata washindi wa tuzo hizo zitapigwa na makocha wa timu za taifa, benchi la ufundi la timu za taifa, Kamati za Maendeleo na jopo la wataalamu wa vyombo vya habari.

Wakati washindi wa tuzo hizo wakitarajiwa kutangazwa katika Jiji la Accra nchini Ghana   Januari 4 mwaka 2018.


No comments