Breaking News

#VIDEO JAMBAZI ACHOMWA MOTO KIBITI



Taarifa tulizozipata kutoka Kibiti ni kwamba Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 32 mkazi wa Kibiti ameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kusadikika kuwa ni jambazi.

Angalia video hii hapa chini ya tukio hilolo



No comments