Breaking News

“Nawashangaa mnaonifananisha na USED, mimi niko SEALED jamani,


Mchekeshaji kutoka Timamu African Media, Ebitoke baada ya kutangaza anamuhitaji msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol katika mahusiano ya kimapenzi, leo ameibuka na kioja kingine.

 Nawashangaa Mnaonifananisha na Used Mimi Niko Sealed– Ebitoke

Ebitoke ambaye amekuwa akitoa vichekesho mbali mbali kupitia mitandao ya kijamii, ametoa kauli ambayo imetafsiriwa kuwa hajawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote.

Nawashangaa mnaonifananisha na USED, mimi niko SEALED jamani,

Baadhi ya mashabiki wake wamechukulia jambo hilo kama utani, wengine wakimpongeza, huku wengine wakibeza kwa kudai amejishusha kusema hivyo.

                                👇

No comments