Breaking News

Beki wa Chelsea aenda kuhiji Makka


NI mchezaj mwengine wa soka anayekipiga kwenye Klabu ya Chelsea  Kourt Zouma ametinga ndani ya mji mtukufu wa Makka  kwa ajili ya Ibada ya hija. 

Kwa mwaka huu atakuwa ni mwanasoka wa pili kutokea  Uengereza baada ya  Poul Pogba.

No comments