Breaking News

Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika kusafirisha madini, watu na vifaa.

==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni 

No comments