Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika kusafirisha madini, watu na vifaa.
==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni
Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato
Reviewed by Unknown
on
November 14, 2017
Rating: 5
Post Comment
No comments