FURSA KWA VIJANA WA KIKE NA KIUME
The foundation for civil society ni taasisi inayohusika na vijana (USHILIKI NA NA USHIKISHWAJI KWA VIJANA) imeandaa tamasha la vijana kwa madhumun ya kusaidia vijana na kutoa fulsa kwa vijana wa aina zote wakike na kiume
Taasisi hiyo inayozaminiwa na (T.E.E.O) Tanzania youth enterprenushirp and empowerment organization) Leo imeandaa tamasha la vijana katika maeneo ya keko juu
TIMU YA VIJANA YA MSUFINI
DHUMUNI LA TAASISI HII
Lengo na madhumuni ushilika na ushilikishwaji wa vijana katika kuunda na kutekeleza Sera za maendeleo no muhimu kwa maendeleo endelevu ya vijana
Mratibu wa taasisi hiyo Girbert Daniel amezungumzia fulsa zinazotolewa katika taasisi
1. Kushilikisha kuelewa na ushiliki na ushilikishaji wa vijana katika ngazi ya mtaa na kata kufanya maamuzi ya maendeleo yao.
2. Kuwasaidia vijana kufikia wa maendeleo wa vijana katika ngazi zao za wilaya.
3. Kuongeza kipato cha vijana kupitia ujasilia mali
No comments