Breaking News

Cannavaro Amfuata Manji Mahakama ya Kisutu..Kunani

Baada ya kutinga mahakamani hapo, Cannavaro alimuwahi Manji na kusalimiana naye kisha kupiga kuzungumza mambo machache ambayo hata hivyo haijajulikana kama walikuwa wakijadili mambo ya soka kuhusu klabu hiyo au la!

 Klabu ya Yanga imekuwa ikiongozwa na Manji kwa miaka mingi ambapo baada ya kushtakiwa na kuwekwa rumande kwa miezi kadhaa kabla ya wiki iliyopita kuachiwa huru kwenye kesi ya uhujumu uchumi.

VIDEO:


No comments