Breaking News

Zitto: Wabunge wa CCM Akiwemo Magufuli Waliniadhibu kwa Kuibua Sakata la Madini Mwaka 2007


Zitto Kabwe akihojiwa na Azam Tv amesema ripoti kamati iliyoongozwa na Prof. Osoro iliyowakilishwa kwa Magufuli haina mapendekezo mapya tofauti na kmamati ya Jaji Bomani ya Mwaka 2008 ambayo yeye alikuwa ni mjumbe pia wa kamati hiyo, tofauti ya sasa na kipindi kile ni rais kuthubutu kufanyia kazi mapendekezo hayo

Pia amesema mwaka 2007 aliibua suala hilo bungeni ila aliambiwa anakimbiza wawekezji ni mchochezi na akaadhibiwa kutohudhuria vikao vya bunge Magufuli akiwa ni mmoja wa watu waliomuadhibu

No comments