Breaking News

Habari Zilizotufikia Muda Huu Zinasema Kwamba


Ndani ya Saa chache au siku mbili au tatu tu zijazo Mchezaji mahiri wa Kiungo wa Yanga FC Haruna Niyonzima anategemea Kusaini kandarasi ya kuichezea Klabu ya Simba SC kwa miaka miwili ( 2 ) kwa ada ambayo itavunja rekodi nchi nzima.

No comments