Breaking News

Hatimaye Majibu ya Rufaa ya Wambura Kujulikana Leo

Taarifa kutoka TFF zinaeleza kuwa Kamati ya Maadili ya Shirikishi hilo inatarajiwa kutoa majibu ya rufaa ya aliyekuwa Makamu wa Rais, Michael Richard Wambura, dakika kadhaa zijazo kuanzia sasa.

Wambura alikata rufaa kupinga kufungiwa maisha kujihusisha na soka baada ya kudaiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za shirikisho pamoja na makosa mengine ndani ya TFF.

No comments