Breaking News

MATOKEO YA YANGA NA MBEYA CITY

DAR: Mechi imemalizika uwanja wa Uhuru kati ya Mabingwa Watetezi Yanga dhidi ya Mbeya City ambapo Yanga imeshinda kwa mabao 5 kwa 0.
-
Magoli ya Yanga SC yametiwa wavuni na Chirwa 19' 50' 59' pamoja na Martin 23'
Gadiel 80'.

No comments