Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika ziwa Victoria.Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna waliosahaulika majini.
Hizi ni taarifa za awali ungana na MSANGULA BLOG kwa habari zaidi
BREAKING NEWS: WATU 17 WAMEOKOLEWA BAADA YA BOTI KUZAMA ZIWA VICTORIA
Reviewed by Unknown
on
November 16, 2017
Rating: 5
No comments