Breaking News

NAPE AULIZWA BOMBERDIA NDIO NINI?


 
Mbunge wa Mtama(CCM), Nape Nnauye ameeleza kuwa wananchi wamemuuliza Bomberdier ndiyo nini. 

Katika ukurasa wake wa Twitter ambao unaonyesha Nape akiwa katika picha na wananchi wa kijijini ameandika hivi “Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza bomberdia ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??

No comments