Breaking News

MAHOJIANO YA MSIGWA NA LEMA KTN

Mahojiano ya Lema na Msigwa ndani ya KTN, nadhani Lema na Msigwa walikuwa wana mambo mengi ya kuiambia dunia lakini ukosefu wa maneno kadhaa ya kiiengereza kumewaficha sana.
Mfano neno dictator uchwara ukiliongea kwa kiingereza linapoteza uzito.
Lema kaongea 'actually' mara 83 kwnye interview ya dk 24.
Tunapotaka kuongelea kiingereza cha Rais inabidi tuangalie kwanza wapi tumekanyaga. VIDEO:


No comments