Breaking News

Wagombea watakaowania nafasi mbalimbali za uongozi Tff hawa hapa

Ifuatayo ni orodha kamili ya Wagombea wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi TFF katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Agosti 12, mwaka huu mkoani Dodoma. 

Wanafamilia hao ni wale waliojitokeza jana Ijumaa na leo Jumamosi katika ofisi za TTF, Karume jijini Dar es Salaam. 

URAIS 
Jamal Malinzi 
Imani Madega 
Wallace Karia 
Fredrick Masolwa 

MAKAMU RAIS 
Mulamu Nghambi 
Michael Wambura 
Geofrey Nyange 

WAJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI 
Soloum Chama 
Ephraim Majinge 
Elias Mwanjala 
Saleh Alawi 
Kaliro Samson 
Vedastus Lufano 
Kenneth Pesambili 
Mbasha Matutu 
Samwel Daniel 
Dunstan Mkundi 
Athuman Kambi 
Shaffi Dauda 
Golden Sanga 
Charles Mwakambaya 
Benista Rugola. 
Thabit Kandoro 
Goodluck moshi 
James Mhagama 
Husen Mwamba 
Sarah Chao 
Isaa bukuku 
Stewat Masima 
Emmanuel Ashery 
Abdul Sauko 
Musa Sima 
Stanslaus Nyongo 
Ayoub Nyenzi 
John Kadutu 
Baraka Mazengo 
Khalid Mohamed 
Mohamed Aden 
Cyprian Kuyava 
Saleh Abdul 

IMETOLEWA NA 
Alfred Lucas 
Ofisa Habari TFF

No comments