Taarifa :Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, George Simbachawene amejiuzulu. Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene ametangaza kujiuzulu nafasi yake kutokana na kutajwa kwenye ripoti za uchunguzi wa tanzanite na almasi
RIPOTI ZA IKULU HAZIACHAGI WATU SALAMA, TAYARI WAZIIRI WA TAMISEMI AMEAMUA KUJIUZULU NAFASI HIYO
Reviewed by Unknown
on
September 07, 2017
Rating: 5
No comments